Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha Bw. Ernest Mchanga (wa tatu kulia) pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti ya Tume wakimkaribisha Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Tume, Bw. Ahmed Saadat (wa tatu kushoto) baada ya kuongezwa muda wa utumishi wa umma, hivyo kuendelea kumwakilisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar.
Baadhi ya Watumishi wa Tume ya Pamoja ya Fedha katika picha ya pamoja kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe – Dar es salaam tarehe 01 Mei, 2025.