Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha, Bw.Ernest Maduhu Mchanga (kulia) akifungua Semina ya kuwajengea uelewa Watumishi wa Tume kuhusu Uhusiano wa Kifedha kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Giraffe, Dar es salaam, tarehe 18, Julai 2024.
Bw. Francis Daggo akiwasilisha mada kwa watumishi wa Tume katika Semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Uhusiano wa Kifedha kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Giraffe, Dar es salaam, tarehe 18, Julai 2024.
Bi. Grace Lyakurwa akiwasilisha mada kwa watumishi wa Tume katika Semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Uhusiano wa Kifedha kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Giraffe, Dar es salaam, tarehe 18, Julai 2024.
Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha, Bw.Ernest Maduhu Mchanga (wa tano kulia) katika picha ya pamoja na watumishi wa Tume baada ya Semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Uhusiano wa Kifedha kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Giraffe, Dar es salaam, tarehe 18, Julai 2024.