Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Bw. Ernest M. Mchanga (wa tatu kulia)¬, Bw. Straton K. Lufyagila kutoka TUGHE Taifa (wa kwanza kushoto), Bi. Sara S. Rwezaula, Mjumbe kutoka TUGHE Mkoa wa Dar es salaam (wa kwanza kulia), Bw. Francis Daggo, Katibu wa Baraza (wa pili kushoto), Bi. Nadia Musa, Katibu Msaidizi wa Baraza (wa pili kulia) katika picha ya pamoja baada ya Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Bw. Ernest Mchanga (wa tatu kulia)¬ katika picha ya pamoja na Wajumbe na Waalikwa baada ya Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliojadili Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Tume kwa mwaka wa fedha 2026/27, uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Bw. Straton K.Lufyagila akimwakilisha Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa katika Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Pamoja ya Fedha uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Bi. Sara S. Rwezaula, Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dar es salaam akichangia hoja katika Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Pamoja ya Fedha uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Wajumbe na Waalikwa wakiimba wimbo wa mshikamano daima katika Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Wajumbe na Waalikwa wakiimba wimbo wa mshikamano daima katika Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Bw. Ernest M. Mchanga (aliyeketi katikati) akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliojadili Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Tume kwa mwaka wa fedha 2026/27, uliofanyika tarehe 13 Machi, 2026 mkoani Morogoro.