Kaimu Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Tume ya Pamoja ya Fedha, Bi. Sia A. Shayo (aliyesimama katikati) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti baada ya kikao kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.
Wajumbe wa Sekretarieti Bw. Said S. Said (kushoto) kutoka Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Dkt. Ephraim O. Mdee (kulia) kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania wakifuatilia wasilisho la Rasimu ya Stadi katika kikao cha Sekretarieti ya Tume kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.
Wajumbe wa Sekretarieti, Dkt. Juma M. Salum (kushoto) kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Bw. Said A. Mohamed kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifuatilia wasilisho la Rasimu ya Stadi katika kikao cha Sekretarieti ya Tume kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.
Mjumbe wa Sekretarieti Bi. Mariam Haji (kushoto) kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifuatilia wasilisho la Rasimu ya Stadi katika kikao cha Sekretarieti ya Tume kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.
Bw. Francis R. Daggo - Mchumi akiwasilisha Rasimu ya Stadi kuhusu Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Ukopaji na Usimamizi wa Madeni ya Serikali ya Nje ya Nchi, katika kikao cha Sekretarieti kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.
Kaimu Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Tume ya Pamoja ya Fedha, Bi. Sia A. Shayo (kushoto) akizungumza katika Kikao cha Sekretarieti ya Tume kilichofanyika tarehe 29, Januari 2026.