Ujumbe wa Tume ya Pamoja ya Fedha katika kikao na wataalamu wa Chuo cha Sayansi ya Fedha (Chinese Academy of Fiscal Sciences), ulipofanya ziara ya mafunzo kuhusu masuala ya uhusiano wa kifedha nchini China.
Uongozi wa Wizara ya Fedha wa Serikali ya Eneo Maalum la Kiutawala la Hongkong (Hong Kong Special Admnistrative Region Hong Kong – HKSAR) ukiongozwa na Bw. Anson Lai, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha anayeshughulika na masuala ya Fedha (wa nne kushoto) katika picha ya pamoja na ujumbe wa Tume tarehe wakati wa ziara ya mafunzo katika Ofisi za Wizara hiyo, Hongkong, China
Uongozi wa Chuo cha Sayansi ya Fedha (Chinese Academy of Fiscal Sciences – CAFS) ukiongozwa na Makamu wa Rais wa chuo hicho Prof. Xing Li (watano kushoto) katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Tume ya Pamoja ya Fedha wakati wa ziara ya mafunzo kuhusu masuala ya uhusiano wa kifedha nchini China.