Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Tume ya Pamoja ya Fedha, CPA. Salmin Y. Malole (kulia) akiomba ufafanuzi kuhusu masuala ya ulinzi wa mifumo ya TEHAMA wakati wa semina iliyofanyika tarehe 16 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina Ndogo, Dar es salaam
Baadhi ya watumishi wa Tume ya Pamoja ya Fedha wakifuatilia wasilisho kuhusu Ulinzi wa mifumo ya TEHAMA wakati wa semina iliyolenga kuimarisha uelewa na uwezo wa watumishi katika masuala ya usalama wa mifumo ya TEHAMA, iliyofanyika tarehe 16 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina Ndogo, Dar es salaam.
Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha, Bw. Ernest M. Mchanga (wa kwanza kushoto) na Wajumbe wa Menejimenti ya Tume wakifuatilia wasilisho la Mkuu wa Sehemu ya TEHAMA Bw. Anthony G. Kinyage, kuhusu ulinzi wa mifumo ya TEHAMA wakati wa semina iliyofanyika tarehe 16 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina Ndogo, Dar es salaam.
Mkuu wa Sehemu ya TEHAMA ya Tume ya Pamoja ya Fedha, Bw. Anthony G. Kinyage akitoa ufafanuzi kuhusu masuala ya ulinzi wa mifumo ya TEHAMA wakati wa semina ya kuwajengea uwezo Watumishi kuhusu usalama wa mifumo ya TEHAMA iliyofanyika tarehe 16 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina Ndogo, Dar es salaam.
Bw. Allen S. Malle wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) akiwasilisha mada kuhusu Ulinzi wa Mifumo ya TEHAMA kwa watumishi wa Tume ya Pamoja ya Fedha katika semina iliyolenga kuimarisha uelewa wa usalama wa mifumo ya TEHAMA, iliyofanyika tarehe 16 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina Ndogo, Dar es salaam.