Uteuzi wa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume 
								
							  
							                
						
   
					 
								
									 Uteuzi wa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume 
								
							  
							
                            
                                 07 Apr, 2023
                            
                            
                        
                    Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan amemteua Dr. CPA. James Andilile Mwainyekule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA). Bw. Mwainyekule alikuwa Mhasibu Mkuu, Tume ya Pamoja ya Fedha.

 
            