Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Fedha na Mipango

Tume ya Pamoja ya Fedha

JFC Logo
Uteuzi wa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume
07 Apr, 2023

Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan amemteua Dr. CPA. James Andilile Mwainyekule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA). Bw. Mwainyekule alikuwa Mhasibu Mkuu, Tume ya Pamoja ya Fedha.